Kila siku tunawambia kuwa wana kikosi cha kawaida ila hawataki kuelewa, haya sasa full mkoko lakini hawajafua dafu.Yani kama LIGI kuu wasingekuwa wanahonga marefa mpaka sasa wegnekuwa wamedodondosha zaidi ya point 5.
Nina uhakika kabisa kama hii ndo ingekuwa mechi ya LIGI kuu na wamebanwa hivi, mpaka sasa wangekuwa wetafutiwa penalty ili washinde kwa lazima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.