Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Yerewiiiiiii Simba anasali kwa kupayuka huko alikoπ°πππππ ππππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Yanga π Coastal Union
π 27.04.2024
π Azam Complex - Chamanzi
π 12:00 Jioni.
Tukutane hapa kwa updates
#Daimambelenyumamwiko#
Piga kazi asikutishe mtuUnashauri nifute au nini mdau
Masandakolozidad wakiomba kwa kupayuka "Shakarababakandaratata"...[emoji2960]Yerewiiiiiii Simba anasali kwa kupayuka huko aliko
Kabiisa Mkuu WanaYanga tupo wa kumwaga na kiukweli timu yetu imejua kutunenepesha na kutunawirisha hatari. π
Ni leo atii. ππππππππππππ inshallah kesho tunashinda hii
Usiwe una comment hadi mechi ikaribie mudaInakera sana, zamani thread za mechi ikiwahi sana ni masaa mawili kabla ya mechi.
Hizi jezi sizipendi yaani tangazo linawekwa kwa TAKO LA MTU aiseeeeeMasandakolozidad wakiomba kwa kupayuka "Shakarababakandaratata"...[emoji2960]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.View attachment 2974989
Kumbe mechi ni kesho!πππππππππππ inshallah kesho tunashinda hii
All the best Dar Young Africans [emoji169][emoji172][emoji617]πππππ πππ[emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ Yanga [emoji739] Coastal Union
[emoji414] 27.04.2024
[emoji909] Azam Complex - Chamanzi
[emoji797] 12:00 Jioni.
Tukutane hapa kwa updates
#Daimambelenyumamwiko#
Watake radhi wanaume wenzetu kwa kuwaita pisi kali.Karibia pisi kali zote ni Yanga.
@Evelyn Salt , @Numbisa , @Shadeeya @Mahondaw @Nifah just few to mention. ephen na @Lamomy
Matatizo unayo wewe na timu yenu mbovu timu inakandwa Kila wiki kolozidad fcKumbe mechi ni kesho!
Ila πΈπΈmna matatizo ktk vichwa vyenu ππ