Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi kwa update mkuu, wengi wanaoanzisha nyuzi huwa bize kushika pumb* timu zao zisifungwe na kusahau kuupdate uzi walioanzisha.Nimekuwa sana kwenye hili jukwaa la soka.
Sasa kuna wadau wanaanzisha uzi mwisho wa siku hawatendi haki. Unakuta hakuna updates wanazotoa, content zinakuwa na error kibao.
cc Vincenzo Jr huyu mwamba anajua game yetu na Singida Fountain Gate ilivyokuwa
Kuweka update ni kazi mkuu acha kabisaJitahidi kwa update mkuu, wengi wanaoanzisha nyuzi huwa bize kushika pumb* timu zao zisifungwe na kusahau kuupdate uzi walioanzisha.
Basi waiachie jf, moderators wataanzisha wenyeweKuweka update ni kazi mkuu acha kabisa
Mimi siyo mtu wa kubet.Umebet ili upige hela au unabwabwaja tu?
KUna siku niliwaambia watu kipindi kile cha mambo ya Mamelodi pacome haumwi wakanikatalia!!!Kulikoni PACOME mbona imekua kimya sana??
pacome ni mwekundu.Pacome ana shida gani?
Wananchi mdau anaomba mumjibu hili swali.Pacome ana shida gani?