FT: Yanga 1 - 0 Coastal Union | NBC Premier League | Azam Complex | 27. 04. 2024

FT: Yanga 1 - 0 Coastal Union | NBC Premier League | Azam Complex | 27. 04. 2024

Ninaamini na WanaJF tumehesabiwa.

20240427_170153.jpg
 
Nimekuwa sana kwenye hili jukwaa la soka.
Sasa kuna wadau wanaanzisha uzi mwisho wa siku hawatendi haki. Unakuta hakuna updates wanazotoa, content zinakuwa na error kibao.

cc Vincenzo Jr huyu mwamba anajua game yetu na Singida Fountain Gate ilivyokuwa
Jitahidi kwa update mkuu, wengi wanaoanzisha nyuzi huwa bize kushika pumb* timu zao zisifungwe na kusahau kuupdate uzi walioanzisha.
 
Leo Yanga akishinda, atakuwa amebakiza mechi 4 atangaze ubingwa pasipo kuangalia matokeo ya wapinzani wake wanaofukuzana nao ubingwa yapoje.
 
Kulikoni PACOME mbona imekua kimya sana??
KUna siku niliwaambia watu kipindi kile cha mambo ya Mamelodi pacome haumwi wakanikatalia!!!
Nikaja nikasema tena aliporudi Yao yao wakabisha saizi kila mtu anashtukia mchongo!! Wacheze kina Aucho sembuse yeye ilihali wakina Yao wamerudi
Hatukatai aliumia sana ila angekua ameshaanza hata kutokea benchi kimyaaa
 
Jitahidi kwa update mkuu, wengi wanaoanzisha nyuzi huwa bize kushika pumb* timu zao zisifungwe na kusahau kuupdate uzi walioanzisha.
Tuonane kwenye Uzi hapa.
Post #1.

Game imeanza.

Coastal Union wamevaa Red kabisa
 
Back
Top Bottom