Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani, hii timu mnadraw leoKabiisa Mkuu WanaYanga tupo wa kumwaga na kiukweli timu yetu imejua kutunenepesha na kutunawirisha hatari. 😀
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Amka usingizini jirani.Jirani, hii timu mnadraw leo
TUKUTANE dk90Amka usingizini jirani.
Mbuzi tumeshamuelekeza kibla huyu. 😅
Haina shida jirani. 🤝TUKUTANE dk90
Modes wa leo ni kolo
Kwahiyo Pacome kama haumwi kuna nini kinachoendelea?KUna siku niliwaambia watu kipindi kile cha mambo ya Mamelodi pacome haumwi wakanikatalia!!!
Nikaja nikasema tena aliporudi Yao yao wakabisha saizi kila mtu anashtukia mchongo!! Wacheze kina Aucho sembuse yeye ilihali wakina Yao wamerudi
Hatukatai aliumia sana ila angekua ameshaanza hata kutokea benchi kimyaaa
Kuna kitu tu kinaendeleaKwahiyo Pacome kama haumwi kuna nini kinachoendelea?
Au anadai mshahara??Kwahiyo Pacome kama haumwi kuna nini kinachoendelea?
Ndio useme hiko kituKuna kitu tu kinaendelea
Hili siyo jukwaa la umbea, yani mchezaji tegemeo akae tu nje mida wote wakati yuko fit?Kuna kitu tu kinaendelea