Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na wazushi hao, Pacome majeruhi hajapona vizuri. Anafanya mazoezi na timu, Gamondi hakubali mchezaji ambaye hajapona vizuri acheze.Kwahiyo Pacome kama haumwi kuna nini kinachoendelea?
Atashinda HaierHaier vs Haier
Mtashinda goli ngapi?Mimi siyo mtu wa kubet.
Ila Nina uhakika.
Sasa kama hujui jinsia ya Bantu lady na za hao uliowataja umezijulia wapi mkuu.Ni binti?
Zitakazo ongeza points 3Mtashinda goli ngapi?
Tiyari nimeyaona mashaka yako 😂😂😂Zitakazo ongeza points 3
Simba haina tatizo la goalkeeper. Halafu si jambo jema kumuangalia mchezaji katika mechi chache na kutoa conclusionHuyu goalkeepr wa coast walimtoa wapi ambako simba hawakumuona?.Jamaa yuko vizuri sana.Ata wakifungwa kaonyesha uwezo mkubwa sana.Huyo jamaa nasikia ni mkongwe ila kawazidi kiwango magolikipa wengi tulionao simba.Ayoub alitakiwa apate msaidizi wa level hizo.Coastal nawatakiwa ushindi mnono.msiniangushe.
Na Freddy huwa mnampondea nini?
Najua Freddy ameshawakata kilimilimi baada ya kuwachambua mabeki wa 🐸🐸kisha akamtungua Diarra 😂😂
Endeleeni kusema sasa kuwa Simba ni mbovu.
Wewe sio mzimaNa Freddy huwa mnampondea nini?
Najua Freddy ameshawakata kilimilimi baada ya kuwachambua mabeki wa [emoji196][emoji196]kisha akamtungua Diarra [emoji23][emoji23]
Endeleeni kusema sasa kuwa Simba ni mbovu.
Wapumbavu hawa inabidi kuwajia changed game plan kipindi cha pili, otherwise saresare maua inanukia.Tiyari nimeyaona mashaka yako 😂😂😂
Kamchoro tu hako, mashabiki wa simba ni akili kubwa kuliko wale utopian amphibians wasambazaji wa mabango.