Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Pesa nyingi tshs ngapi au hujui kuwa ana mgomo wa kutolipwa hizo the so called hela nyingi?Chama alirudi Simba kwa pesa nyingi sana halafu eti hachezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa nyingi tshs ngapi au hujui kuwa ana mgomo wa kutolipwa hizo the so called hela nyingi?Chama alirudi Simba kwa pesa nyingi sana halafu eti hachezi
Ukiwa umelala labdaSimba atarudisha goli na wataenda penalty
Yu wapi Henock Inonga Backa?
Alichungulia kwenye Kibuyu akaonyweshwaMwina Kaduguda alisema mapema
Huko alipo anaandaa jamvi la masimango kwa Viongozi,Wachezaji na Benchi zima la ufundi la Simba.Mtani nakuita mtani [mention]GENTAMYCINE [/mention]
Mwina Kaduguda alisema mapema
Usiseme hivyoooMugalu ni mzigo kama mizigo mingine
tulia wewe uliwe kiboga na kipensi chako kifupi.utopolo waliwa kiboga huko ccm kirumba
NB
Baada ya dakika 90 utasikia kauli kama hizi kutoka kwa semaji la GSM focus yetu ni ligi kuu huku FA haikua focus yetu
alivyo na mdomo mchafu, hachagui wa kumporomoshea matusiHuko alipo anaandaa jamvi la masimango kwa Viongozi,Wachezaji na Benchi zima la ufundi la Simba.
GENTAMYCINE