FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

Na sisi mkiwa wabovu tumeshawatwanga sana tena zakutosha sio zenu kama wagonjwa wa kisukari
Zaidi ya zile 4 za hujuma nusu fainali umetufunga lini pamoja na ubovu wetu miaka yote hyo minne? Eti mmetubomoa sana mechi ngapi? Ni FA tu ile nusu fainali wasenge tshishimbi na morison walituuza na ile ya kigoma thadeo nitajie hzo mechi mlizotubomoa sana,mara ya mwisho kutufunga sisi kwenye ligi ni lini? Mm nakuhesabia goli 1 Morrison,goli 1 Mauya,goli 1 Mayele,goli 1 Fey yaani tunadondosha mojamoja
 
Na sisi mkiwa wabovu tumeshawatwanga sana tena zakutosha sio zenu kama wagonjwa wa kisukari
Yaani hapo kwenye kutubomoa sana ndio ninaposhangaa labda ulidhani sifatilii tumekutana mara ngapi ndani ya miaka 4 na ubora wenu wote tumekuwa wababe wenu kwenye ligi km unabisha mwaga data sitaki maneno matupu
 
Yaani hapo kwenye kutubomoa sana ndio ninaposhangaa labda ulidhani sifatilii tumekutana mara ngapi ndani ya miaka 4 na ubora wenu wote tumekuwa wababe wenu kwenye ligi km unabisha mwaga data sitaki maneno matupu
Nilisahau mtani nilikupasua pia znz kwenye mapinduzi
 
Furaha mliyonayo utopolo, sie tulikua nayo miaka 4.
Wala hatustuki yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Furaha mliyonayo utopolo, sie tulikua nayo miaka 4.
Wala hatustuki yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20220523-132205_1653892282618.jpg
 
Furaha mliyonayo utopolo, sie tulikua nayo miaka 4.
Wala hatustuki yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
A yu shua hujashituka? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom