Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwa hiyo Benno Kakolanya hajapokea bahasha ya khaki kwenye lile goli la Fei Toto!Huu ndo mpira
Tumwekubali matokeo
Au Manula alifanya makusudi kujiumiza ili kuukosa huu mchezo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Benno Kakolanya hajapokea bahasha ya khaki kwenye lile goli la Fei Toto!Huu ndo mpira
Tumwekubali matokeo
Hayo siyajuiKwa hiyo Benno Kakolanya hajapokea bahasha ya khaki kwenye lile goli la Fei Toto!
Au Manula alifanya makusudi kujiumiza ili kuukosa huu mchezo!
Kile kigoli alichowapiga katika ngao ya jamii mlishamzalia mtoto wake?Uto kama polo haya nendeni mukakazwe na MAYELE MUMZALIE MTOTO"
ALISIKIKA SHABIKI MMOJA WA UTO.
[emoji23][emoji23][emoji23]"GSM kanunua hii match" kolowizard hawanaga akili [emoji3]
Ahahahah,dah
Ifike mahali yanga tupishwe siti kwenye daladala na nyieTadeo lwanga kachezewa foul
Yaani eti kisa kuimba tu hawaamini macho yao ndo jamaa wamanirushia mawe.
Thubutu!!! Huo uganga wa kenyeji wafanyie wengine lakini siyo simba!! Utasubiri sana kutetema mbele ya Simba!Wakati muafaka wa kutetema umefikaView attachment 2242191
Mimi nilipoona Manula ni majeruhi, Chama nje, na yule MB tulishamtupia viragfo (uamuzi sahihi) nikaona hakuna kitu hapa japo mtetemaji atasubiri sana!! kama ni kufunga wafunge wengine!!Free basics .com.
Nitajie mkuu kikosi cha Simba.
Wala haikuwa uongo!! Tatizo hatuna wachezaji kwa sasa! Hakuna mshambuliaji kwa maana ya mshambuliaji (centre forward), Kagere kazeeka, Mugalu hawezi!! Kocha apewe fursa ya kusuka kikosi kipya!! Mwakani tunatoboza nusu fainali champions league!!
Na sisi mkiwa wabovu tumeshawatwanga sana tena zakutosha sio zenu kama wagonjwa wa kisukariNakukumbusha kipindi tuko wabovu sisi tuliwafunga mara nyng zaidi
Uto bnanaFEI Toto ana dribble mabeki wote na kipa wao macho yote kwa Mayele...inabidi FEI Toto afunguke....the rest is history!
Uto bnaTumepiga Kwenye Matumaini Yao [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2242973