Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makambo angekuwa amefikia uwezo wa Mayele au zaidi ya Mayele, kwa plan ya Nabi leo simba walikuwa wanakula sio chini ya tatu. Ila Makambo ni mzigo haswaNatamani sana mechi kama hii, Makambo acheze kama standing striker halafu Mayele acheze free role
Kazia tena mkuu.Nakazia
Na kwenye ligi tunawafanya kinyume na maumbile kama kawaUtopolo ushidi wa kubahatishabahatisha wa 1-0 umezidi sasa. Kuna kitu...
Maskini!!!!
Uto kama polo haya nendeni mukakazwe na MAYELE MUMZALIE MTOTO"
ALISIKIKA SHABIKI MMOJA WA UTO.
Yule nyoni hata Mimi nilimshangaa sana.unaingiaje uwanjani na hereni sikioni?kuna mchezaji wa simba kaingia dakika za mwisho katumia dakika 7 kuvaa heleni
Nakukumbusha kipindi tuko wabovu sisi tuliwafunga mara nyng zaidiIla yanga pamoja na ubovu wa Simba mmeshindwa kuifunga hata vigoli viwili
😀 kolo lilikua linaotaTeh teh teh
Unajisikiaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utopolo waliwa kiboga huko ccm kirumba
NB
Baada ya dakika 90 utasikia kauli kama hizi kutoka kwa semaji la GSM focus yetu ni ligi kuu huku FA haikua focus yetu