Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Utopolo ushidi wa kubahatishabahatisha wa 1-0 umezidi sasa. Kuna kitu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara Hii Mmekuwa Wabovu?? Kwani Nyie Si Ndio Mlosema Mtatawala Soka La Bongo Kwa Miaka 10 Imeakuaje Tena? [emoji1787]Ila yanga pamoja na ubovu wa Simba mmeshindwa kuifunga hata vigoli viwili
atasema ..."mambo ni magumu "Sijui Ahmed Aly atabanaje sauti leo
na mm nasubiri jibuNyie Makolo Hii Mechi Mmetuuzia Kwa Sh Ngapi?? [emoji23]
Siyo mpango wa mungu. Ni kwamba tu kikosi cha Simba hovyo na kocha wa Simba hovyo.Yanga ni mpango wa Mungu au siyo Erythrocyte na Sexless na OKW BOBAN SUNZU na Mshana Jr hongereni sana
Kwani Semaji la GSM linasemaje baada ya dk 90utopolo waliwa kiboga huko ccm kirumba
NB
Baada ya dakika 90 utasikia kauli kama hizi kutoka kwa semaji la GSM focus yetu ni ligi kuu huku FA haikua focus yetu
Vipi sura yako ikoje Sasa baada ya kujivitisha pumzi ya motoSIMBA 1 KUBWA JINGA 0
Alikuiwa na kiwango bora sana leo, kashindwa tu kulenga goliMayele hajafunga ila alichokuwa anawafanya mabeki mpaka nikawaonea huruma
Hello 👋Hatufungwi na walevi sisi
Nyimbo ya adele hiyoHello 👋
Pumzi ya moto unaivuta ukiwa wapiNyimbo ya adele hiyo
nashukuru boss hajafinga lakini at least uliona yanga walikuwa na plan tofauti na mechi zilizopitaHatafunga hata moja mark my words
Wali njegere ulioacha geto umeweza kupita kooni pasipo kukwama kwama kweli?Nyimbo ya adele hiyo