HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wamtoe MatolaIla Simba nahisi kama kuna mgomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamtoe MatolaIla Simba nahisi kama kuna mgomo
NimekuelewaKwa hiyo moto kote kote mwanzo mwisho?
Madrid kama kawaida yao wakiliona kombe macho yanawatokaMadrid baadade msiniangushe
Madrid anafungwa 2Madrid baadade msiniangushe
Lile bao la Nguruwe moja watoto kumi na mbili.Asante kwa kushiriki tukutane msimu ujao.Ila yanga pamoja na ubovu wa Simba mmeshindwa kuifunga hata vigoli viwili
Kwahiyo bado hamjaridhika?Ila yanga pamoja na ubovu wa Simba mmeshindwa kuifunga hata vigoli viwili
Usiku itakuuma zaidi maana Madrid tunaenda kuumiza pale pale tena. Najua mashabiki wengi wa mikia ndio wa BarcelonaDaa,inaumiza sana
Hicho kimoja Cha afya kinatoshaIla yanga pamoja na ubovu wa Simba mmeshindwa kuifunga hata vigoli viwili
Naitwa Messy anaitwa Mess sasa kwann nisimshabikieUsiku itakuuma zaidi maana Madrid tunaenda kuumiza pale pale tena. Najua mashabiki wengi wa mikia ndio wa Barcelona
Makolo wajinga kweli kweli, yaani mlitegemea kabisa kibu denis na mzamiru waifunge yanga?? Yaani selection mbovu ya first 11 ndiyo imewaangusha
Maumivu ya kujitakia hayoDaa,inaumiza sana
Motivation sio kupiga kelele uwe na akiliNdio Mo ajue Manara alikuwa ndio motivation yenyewe, sasa yeye kaona yule house girl wake ndio motivation eti!!@#%?
HakikaMaumivu ya kujitakia hayo