FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

Mashabiki wa Simba, hata tusihuzunike.

Kwanza mpira ni haramu ( dhambi), waacheni hao yanga waendelee na hiyo dhambi.
 
Makolo wajinga kweli kweli, yaani mlitegemea kabisa kibu denis na mzamiru waifunge yanga?? Yaani selection mbovu ya first 11 ndiyo imewaangusha

Tatizo Simba wanaabudu wachezaji sio ubora. Na ndio kitakachofanyika wazamisha . Halafu Mimi Mo dewji na Barbara siwaamini.
 
Shoka moja tu tukala kitoweo cha porini
 

Attachments

  • Kolo.jpeg
    Kolo.jpeg
    146.8 KB · Views: 11
Back
Top Bottom