Zaidi ya zile 4 za hujuma nusu fainali umetufunga lini pamoja na ubovu wetu miaka yote hyo minne? Eti mmetubomoa sana mechi ngapi? Ni FA tu ile nusu fainali wasenge tshishimbi na morison walituuza na ile ya kigoma thadeo nitajie hzo mechi mlizotubomoa sana,mara ya mwisho kutufunga sisi kwenye ligi ni lini? Mm nakuhesabia goli 1 Morrison,goli 1 Mauya,goli 1 Mayele,goli 1 Fey yaani tunadondosha mojamojaNa sisi mkiwa wabovu tumeshawatwanga sana tena zakutosha sio zenu kama wagonjwa wa kisukari
Yaani hapo kwenye kutubomoa sana ndio ninaposhangaa labda ulidhani sifatilii tumekutana mara ngapi ndani ya miaka 4 na ubora wenu wote tumekuwa wababe wenu kwenye ligi km unabisha mwaga data sitaki maneno matupuNa sisi mkiwa wabovu tumeshawatwanga sana tena zakutosha sio zenu kama wagonjwa wa kisukari
Nilisahau mtani nilikupasua pia znz kwenye mapinduziYaani hapo kwenye kutubomoa sana ndio ninaposhangaa labda ulidhani sifatilii tumekutana mara ngapi ndani ya miaka 4 na ubora wenu wote tumekuwa wababe wenu kwenye ligi km unabisha mwaga data sitaki maneno matupu
zingatia neno nyuki
kwa hiyo sasa hivi mna huzuni.Furaha mliyonayo utopolo, sie tulikua nayo miaka 4.
Wala hatustuki yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuna kwanza huyo mkeweTehtehteh kuna kolo moja apa halijalala kwake mkewe kanifata kuniomba tukamtafute
Hamjawahi kuwa na furaha ya kuifungia yangaFuraha mliyonayo utopolo, sie tulikua nayo miaka 4.
Wala hatustuki yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Furaha mliyonayo utopolo, sie tulikua nayo miaka 4.
Wala hatustuki yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
A yu shua hujashituka? πππFuraha mliyonayo utopolo, sie tulikua nayo miaka 4.
Wala hatustuki yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mdogo wangu kwani kufukua uzi ni mbaya? πUto bna
Hahahaaa. Swahiba wasubiri sensa tu sasa. ππ"GSM kanunua hii match" kolowizard hawanaga akili π
Swahiba kingine makolo walicho na matumaini ni george mpole kuwa mfungaji bora,wanaombea fiston mayele asiwe anafunga πHahahaaa. Swahiba wasubiri sensa tu sasa. ππ
ππ Hawajui tu Swahiba hiyo ni hatari sana kwa afya zao. ππSwahiba kingine makolo walicho na matumaini ni george mpole kuwa mfungaji bora,wanaombea fiston mayele asiwe anafunga π
Hawa na bado kabisa chamoto hawajakionaππ Hawajui tu Swahiba hiyo ni hatari sana kwa afya zao. ππ
Hahahaaa. Ndo wanaelekea huko Swahiba.Hawa na bado kabisa chamoto hawajakiona