Naunga mkono hoja!!Tunashinda hii
Egemea vizuri hakuangushial ahly usituangushe kaka.
Tunakutegemea utupe furaha
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Na mimi ndo dua yangu hyo.asifanye makosa kama aliyofanya belozuidadEgemea vizuri hakuangushi
nakaziaNaunga mkono hoja!!
ni leo mkuu, saa 1 jioniAl Ahly hawataamini macho yao kesho
KikubwaDalili ya kipigo
Jinsi watakavyojipigiaAl Ahly hawataamini macho yao kesho