Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mdogo yake nepi. Subiri uone tunachomfanya mume wa SimbaYanga safari hii hatokandwa nawaambia. Atakandikwa kabisa pusi huyu
Yaani kuna watu mnaiona yanga km man City flani hivi.... Hamna kitu wachumba tu waleMimi ni Simba Ila matokeo ni yanga 3 ahly 1.
Yanga kumgonga ahly ni sifa kwa tanzania
Hata hivo Yanga ndio man city yetu hapa AfricaYaani kuna watu mnaiona yanga km man City flani hivi.... Hamna kitu wachumba tu wale
Simba saa 10 yanga saa 1Navuta muda hapa nielekee uwanjani. Hivi mechi ni saa ngapi jamani? Redioni wanasema saa 10, Yanga na Google wanasema saa 1!
Nisaidieni nipate uhakika nijue natoka home saa ngapi!
Na Simba jeYanga apigwe TU Leo hakuna namna
Yanga tunamfunga huyo Al ahly.... utapata majibu muda ukifika.... wasalimie banakongo....Iko tunaskia lelo njo mu'equipe wa nguvu mu afrika Al ahly njo unacheza mu Daslam?
Batalokota mingi kunyavu muda na mungu njo chef.
Ule mu'equpie unavaa ma jersy ya vert na jaune utafungwa mingi.
Al ahly tunabapenda sana, karibuni mufansi ya congo.