FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Kila la heri Yanga. Ushindi ni lazima. Maana wenzake kwenye kundi lake mpaka sasa wametumia vizuri home advantage. Hivyo na yeye hana nna nyingine, isipokuwa kushinda kwa goli nyingi.

Kufungwa au kutoa sare kutatufanya kuendelea kuburuza mkia. Na hii itawafanya mbumbumbu watusimange mpaka basi. Ingawa na wenyewe hali si hali.
 
Kila la heri Yanga. Ushindi ni lazima. Maana wenzake kwenye kundi lake mpaka sasa wametumia vizuri home advantage. Hivyo na yeye hana nna nyingine, isipokuwa kushinda kwa goli nyingi.

Kufungwa au kutoa sare kutatufanya kuendelea kuburuza mkia. Na hii itawafanya mbumbumbu watusimange mpaka basi. Ingawa na wenyewe hali si hali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu wee ni muoga had unatia huruma, relaaaxxx
 
Hakika leo ndio siku ya kutimiza malengo ya kuishia hatua ya makundi Go utopolo go supu fc go
GAF1_JqWcAAf0eQ.jpeg
 
Ukiacha yanga kufungwa yaani hata wakipata shot on target moja ndani ya dakika 90 watakua wamejitahidi sana.
 

Leo mida ya saa 1:00 jioni inatarajiwa kuchezwa mechi ya pili ya kundi D ikiwakutanisha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania (Yanga) dhidi ya Mabingwa wa Kihistoria wa Afrika kutokea Misri (Al Ahly). Mechi inachezwa katika Uwanja wa Mkapa uliopo Dar es Salaam Tanzania.

Unafikiri nani ataibuka mshindi katika mechi hii?

Kaa nami katika uzi huu, nitakuletea matukio na matokeo yatakayokuwa yakijiri katika mchezo huu
Msuli day....😂😂😂

Kila laheri Yanga....
 
Hii mechi tunashinda dadeq,, Kila la kheri Yanga yangu..
Piga hizo Fala....o
 
Back
Top Bottom