Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azizi Ki alianza kutafuta sababu mara ajishike kichwa kama ishara ya kuumia
Hiyo yote ni mazingira ya kukwepa lawama ili baadaye tuseme alikuwa hayupo vizuri.
Max leo nimemuona kwenye lineup tu, uwanjani sijamuona.
Kuna baadhi ya wachezaji ukisema umsubirie commentator awataje majina utajikuta mpaka mpira unaisha hujamsikia.
Na hio draw ni muujiza maana tunakoswa sio kitotoNaona gamondi kaamua atafute tu draw nyumbani mambo yasiwe mengi [emoji23][emoji23]
Msamehe bure ana kachanganyikiwa, walijiaminisha kwamba watashinda mapema, sasa anaona mambo magumuKumbe siku hizi kama uzi ni wa Yanga watu wengine hawaruhusiwi kichangia?
Sub za kitafuta sare hizoMax anatoka anaingia Zawadi Mauya
Mzize anatoka anaingia Musonda
Asamehewe tu......Kumbe siku hizi kama uzi ni wa Yanga watu wengine hawaruhusiwi kuchangia?
Hakuna aliyewazuia kuchangia. Ila mchangie kwa ustaarabu. Matusi hayana tija kwenye huu uzi.Kumbe siku hizi kama uzi ni wa Yanga watu wengine hawaruhusiwi kichangia?
Goli kipa wa yanga alistahili red card
Hata wenzako huwa wanatukana...Nivumilie matusi kutoka kwa mjinga mmoja asiyejitambua siyo!!
Jamaa wamekua wakali leo hahahaKumbe siku hizi kama uzi ni wa Yanga watu wengine hawaruhusiwi kuchangia?
Yeah kafanya save moja nzuri sana,
Jamaa ni kipa haswaa
Ila uchawi hauvuki bahariUchawi wa zanzibaree
Hapo Yanga ndio kacheza mpaka mwisho wa kiwango chake
Wakati hapo Al Ahly wamedharau mechi.
Yanga bado mnaendelea kujifunza kuhusu Cacl.
Karibuni kwenye ligi ya wakubwa.