rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hiki kichekesho unakipata ukituma namba ganiTeh teh ππ Yanga mna ukubwa ?.....teh teh teh πππ hii kali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kichekesho unakipata ukituma namba ganiTeh teh ππ Yanga mna ukubwa ?.....teh teh teh πππ hii kali.
Yanga wamekata motoππππ
Leo mida ya saa 1:00 jioni inatarajiwa kuchezwa mechi ya pili ya kundi D ikiwakutanisha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania (Yanga) dhidi ya Mabingwa wa Kihistoria wa Afrika kutokea Misri (Al Ahly). Mechi inachezwa katika Uwanja wa Mkapa uliopo Dar es Salaam Tanzania.
Unafikiri nani ataibuka mshindi katika mechi hii?
Kaa nami katika uzi huu, nitakuletea matukio na matokeo yatakayokuwa yakijiri katika mchezo huu.
View attachment 2831569
Kikisi cha Yanga kinachoanza
View attachment 2831570
Kikosi cha Al Ahly kilichoanza
Lolote laweza kutokea, mpira huu mkuuHii draw kwa yanga haina faida yoyote
Jamaa ni kipa haswaaAaaaaah kumamamake huyu Diarra kacheza
Hata uzoefu unachangia sio ufundi tu.Yanga tunakosa mbinu za kiufundi Gamondi ajitafakari
Naona baada ya kuvumilia kwa muda mrefu, umeamua kuhamia kwenye matusi.Hawa wasng wana bahati sana
Haya baba aka Tate...Nimetoa mfafano tu wa mshambuliaji anayehitajika Yanga kwa sasa. Wala sijasema Yanga tunamhitaji Mayele.
Jitahidi kuvumilia...Naona baada ya kuvumilia kwa muda mrefu, umeamua kuhamia kwenye matusi.
Hivi hujisikii hata aibu. Uzi haukuhusu, ila muda wote unawashwa washwa tu.
Uchawi wa zanzibareeTumekosa goli la wazi kabisa hapa
Aaaaaah kumamamake huyu Diarra kacheza
Hivi hujisikii hata aibu. Uzi haukuhusu, ila muda wote unawashwa washwa tu.
Nivumilie matusi kutoka kwa mjinga mmoja asiyejitambua siyo!!Jitahidi kuvumilia...
umemgonga au kaupangua na mkono...Umemgonga ule mpira