FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023


Leo mida ya saa 1:00 jioni inatarajiwa kuchezwa mechi ya pili ya kundi D ikiwakutanisha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania (Yanga) dhidi ya Mabingwa wa Kihistoria wa Afrika kutokea Misri (Al Ahly). Mechi inachezwa katika Uwanja wa Mkapa uliopo Dar es Salaam Tanzania.

Unafikiri nani ataibuka mshindi katika mechi hii?

Kaa nami katika uzi huu, nitakuletea matukio na matokeo yatakayokuwa yakijiri katika mchezo huu.

View attachment 2831569
Kikisi cha Yanga kinachoanza

View attachment 2831570
Kikosi cha Al Ahly kilichoanza
Yanga wamekata motoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Simba sasa hawa jamaa ndio wanacheza OBJECTIVE FOOTBALL.Hawana mambo mengi.
 
Max anatoka anaingia Zawadi Mauya

Mzize anatoka anaingia Musonda
 
Back
Top Bottom