Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mechi na Makolo waliidharau. Leo wanacheza na wakubwa wenzao, wameamua kukaza.Hawa waarabu mbona mechi na simba hawakucheza hivi jmn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi na Makolo waliidharau. Leo wanacheza na wakubwa wenzao, wameamua kukaza.Hawa waarabu mbona mechi na simba hawakucheza hivi jmn
Teh teh 😃😃 Yanga mna ukubwa ?.....teh teh teh 😃😃😃 hii kali.Mechi na Makolo waliidharau. Leo wanacheza na wakubwa wenzao, wameamua kukaza.
Wale mliocheza nao, walikuwa ni zaidi ya nyanya za Ilula. Leo kila timu imefunguka, hakuna papatu papatu!!Tofauti yao na hawa ni ipi ?...
Ule uchawi wao wa zanziberi unafanya kaziDaaaah tumekosa bao la wazi kabisa hapa
Hahahaaaa mnajipa moyo sana...Wale mliocheza nao, walikuwa ni zaidi ya nyanya za Ilula. Leo kila timu imefunguka, hakuna papatu papatu!!
Hakika watazamaji wanafurahia kuangalia mpira.
Halafu wamepewa freekick ya mchongoUle uchawi wao wa zanziberi unafanya kazi
ohooo mmeanza sababuFurahia mpira wewe. Hakuna papatu papatu hapo. Hata itokee tukafungwa, ila chenga tumewala.
Ngoja tuoneHalafu wamepewa freekick ya mchongo
Hongereni sana kwa kumiliki mpira mbele ya bingwa mtetezi.Wale mliocheza nao, walikuwa ni zaidi ya nyanya za Ilula. Leo kila timu imefunguka, hakuna papatu papatu!!
Hakika watazamaji wanafurahia kuangalia mpira.
Mayele. Amesema ameshamalizana na nyie..Yanga tunachokikosa kwa sasa ni mshambuliaji tu wa kati wa kiwango cha Fiston Kalala Mayele. Dogo Mzize anakuja vizuri, ila bado anahitaji muda wa kufikia kiwango cha yule mwamba.
Haya ni maneno ya kujifariji tu. Fungeni magoli. Acheni porojo.Mechi na Makolo waliidharau. Leo wanacheza na wakubwa wenzao, wameamua kukaza.