FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Taahadhar.. Msivae msuri kwao..Al Ahall Atawapakieni mkongo..
Screenshot_20231128_183610.jpg
 
Leo nitamfundisha yule dunduka namna ya kumfunga mwarabu Yanga daima mbele.
Ulifikiri unacheza shirikisho?
Katimu kadogo ka Algeria kamewafunga 3 bila leo uje mfunge Al Ahly ambaye ni bingwa mtetezi wa Champion League?
Tatizo mnacheza mpira mdomoni. Sasa subiri mechi ya marudio na Al Ahly uone mtakafungwa.
 
Leo nitamfundisha yule dunduka namna ya kumfunga mwarabu Yanga daima mbele.
😁😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Yanga kuingia makundi Champion League imetumia miaka 25. Sasa unataka kumfundisha Simba?
Ushindwe kumfunga Belozuidad uje umfunge Al Ahly?
Mechi ya marudiano na Al Ahly lazima mfe 3-0
 
Kwani wewe ulimfunga sasa
Jana nilikuwa naawangalia tu mnavyoichukulia Al Ahly kirahisi. Jana si milsema mtaifundisha Simba kucheza mpira. Ilikuwaje?
Bado mechi ya marudiano ndiyo utajua wale jamaa hawana mchezo.
1. Angalia usajili wa Al Ahly
2. Imecheza Champion League mara ngapi
3. Angalia sifa ya mchezaji mmoja mmoja wa Al Ahly
4. Imechukua kombe la Champion League mara ngapi?

Shida ya Yanga huwa inajilinganisha na Simba. Aly Kamwe alisema ataifundisha Simba kutumia mechi za nyumbani. Baada ya kutoka draw wanaanza kujilinganisha na Simba
 
Si mlikuwa mnawacheka simba kutoa droo na al ahly,
Mmeona jana kilichotaka kuwakuta?tena mlivaa misuli.
Mwarabu unamvalia msuli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  • Watu wametumia miaka 25 kuingia makundi ya champion league
  • Mechi ya kwanza wamepigwa 3 - 0
Kwa sifa hizi wangeifunga Al Ahly kuna watu wangefukuzwa kazi Al Ahly maana ulikuwa ni udhalilishaji
Walisahau kuwa wanacheza na bingwa mtetezi wa Champion League, wakajua wapo shirikisho. Bado mechi ya marudiano, tuone atavunja rekodi ya Simba.
 
  • Watu wametumia miaka 25 kuingia makundi ya champion league
  • Mechi ya kwanza wamepigwa 3 - 0
Kwa sifa hizi wangeifunga Al Ahly kuna watu wangefukuzwa kazi Al Ahly maana ulikuwa ni udhalilishaji
Walisahau kuwa wanacheza na bingwa mtetezi wa Champion League, wakajua wapo shirikisho. Bado mechi ya marudiano, tuone atavunja rekodi ya Simba.
Sema wao walishasema malengo yao ni kuingia tu makundi basi.chq ajabu sasa wanamcheka simba kuishia robo fainali. Sijui kwanjni manara bado hajajengewa sanam
 
Sema wao walishasema malengo yao ni kuingia tu makundi basi.chq ajabu sasa wanamcheka simba kuishia robo fainali. Sijui kwanjni manara bado hajajengewa sanam
Ndiyo ujue Yanga ni timu changa sana kisoka, pamoja na matambo yote malengo yao waishie makundi. Walipochapisha mabango ya 5-1 nilijua hii timu bado changa sana kisoka.
Kipindi kile wanachukua medali za shirikisho walikuja kumtambia Simba aliyeopo Champion League na kujiona wao ni bora kuliko Simba.
Timu iliyocheza Champion League mpk robo fainal ni timu bora kuliko aliyechukua kombe la shirikisho. Sasa hivi wamethibitisha hilo
 
Jana nilikuwa naawangalia tu mnavyoichukulia Al Ahly kirahisi. Jana si milsema mtaifundisha Simba kucheza mpira. Ilikuwaje?
Bado mechi ya marudiano ndiyo utajua wale jamaa hawana mchezo.
1. Angalia usajili wa Al Ahly
2. Imecheza Champion League mara ngapi
3. Angalia sifa ya mchezaji mmoja mmoja wa Al Ahly
4. Imechukua kombe la Champion League mara ngapi?

Shida ya Yanga huwa inajilinganisha na Simba. Aly Kamwe alisema ataifundisha Simba kutumia mechi za nyumbani. Baada ya kutoka draw wanaanza kujilinganisha na Simba
Sasa mbona al ahly hawajashinda?, Yanga ana nafasi kubwa ya kutoboa makundi
 
Jana nilikuwa naawangalia tu mnavyoichukulia Al Ahly kirahisi. Jana si milsema mtaifundisha Simba kucheza mpira. Ilikuwaje?
Bado mechi ya marudiano ndiyo utajua wale jamaa hawana mchezo.
1. Angalia usajili wa Al Ahly
2. Imecheza Champion League mara ngapi
3. Angalia sifa ya mchezaji mmoja mmoja wa Al Ahly
4. Imechukua kombe la Champion League mara ngapi?

Shida ya Yanga huwa inajilinganisha na Simba. Aly Kamwe alisema ataifundisha Simba kutumia mechi za nyumbani. Baada ya kutoka draw wanaanza kujilinganisha na Simba
Kwani simba na yanga nani ni mkubwa kwa mwenzie
 
Back
Top Bottom