Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawabeba sana yangahuyu refa simuelewi
Faulo gani sheikh?tunawapiga iyo faulo kaa kwa kutulia
Kumbaf wwAnawabeba sana yanga
🤣🤣🤣Kipindi cha 3 kimeanza Kwa kasi
Huo ndio ukweli mchunguUto wanakimbikimbia tu.
Hii mechi akijitahidi ni droo.
Jinga kweli ww...huoni mpiraUto wanakimbikimbia tu.
Hii mechi akijitahidi ni droo.
kabisa yaaniPercy Tau Yuko ndani Kwa hisani ya refa.
Una matatizo ya Akili mkuu.Azizi Ki alianza kutafuta sababu mara ajishike kichwa kama ishara ya kuumia
Hiyo yote ni mazingira ya kukwepa lawama ili baadaye tuseme alikuwa hayupo vizuri.
Max leo nimemuona kwenye lineup tu, uwanjani sijamuona.
Kuna baadhi ya wachezaji ukisema umsubirie commentator awataje majina utajikuta mpaka mpira unaisha hujamsikia.
Hii hoja ya kijinga sana.Faulo gani sheikh?
Mchezaji anayepokea mshahara kwenye ATM amfunge kipa anayelipwa mamilion kwa freekick?
Si itakuwa uchuro huo
Siku zote akijamba mkubwa lawama zinaenda kwa mtoto.Huyu refa anazingua sana...sasa mbona waarabu hawapi kadi za njano
Nadhani akili ndio itakuwa ina matatizo na mimiUna matatizo ya Akili mkuu.