Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Wacha weeMechi zilizobaki zote ni ushindi kwa Yanga kasoro na Al Ahly atabahatisha sare nyumbani kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeMechi zilizobaki zote ni ushindi kwa Yanga kasoro na Al Ahly atabahatisha sare nyumbani kwao.
Vyura wa jangwaniMakolo = majitu yasio na akili.
Mlisema yanga atafungwa nyingiWalisema watamkanda Mwarabu 5
Tulieni mpaka hao wa badae wakipige,nyie ndio mtaua wa chini kabisa
Unakaroho ka husda na wivuPoor Uto wamepata point ya kwanza kwenye CL baada ya miaka 25.
Bondeni bar...kikao leo wapi ?
It doesn't matterMechi mbili point 1. Away kichapo nyumbani sare
Mechi mbili pointi 2. Away sare nyumbani sare.
Mwenye point mbili analazimisha furaha na kujiona ana matumaini kuliko mwenye point 2
Yanga atapigwa nje ndani na Al Ahly,, alisikika mbumbumbu mmojaPoints 9 za nyumbani, alisikika topolo mmoja akiota
Mi sija reply post yenye swaliUsijenge hoja juu ya hoja
Jibu kile nmekuuliza
Al ahly form yake sio nzuri kipindi hiki,Wazee wa kufa kiume roho zinawauma sana
Ume changanyikiwa? Are you normal?Mechi mbili point 1. Away kichapo nyumbani sare
Mechi mbili pointi 2. Away sare nyumbani sare.
Mwenye point mbili analazimisha furaha na kujiona ana matumaini kuliko mwenye point 2
WametuheshimishaAhsante yanga... Ntakupenda daim
Wamesawazisha