FT: Yanga 1-1 Al Hilal Club (CAF Champion League) | Mkapa Stadium | 8-10-2022

Kwann Simba wako bize na mechi Yanga.....huku wakiamini Yanga wanafungwa.....wkt mechi yao ni kesho ....Je wana uhakika wao wanashinda?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hizi ndio zile game za ukipata nafasi itumie instantly, hazina muda wa kukupa nafasi ya kurekebisha makosa yako kipindi cha pili, kazi kwenu.
Ukimuona Mwamnyeto kwenye lineup ya leo, basi tegemea lawama nyingi sana leo. Hizi ndio zile mechi za kuwakataa baadhi ya wachezaji na kushangaa imekuwaje wapo klabuni mpaka leo.
 
Kabla haijafika saa 12 Jioni ya Leo wewe utakua wakwanza kutoa shutuma dhidi ya Al Hilal.
Wewe una risiti yako niliitunza kitambo sana, kabla ya saa 12 kila mwanasoka asiyekuwa na mihemuko atakuja kucheka hapa.
 
Yamebaki masaa ma3 nchi iingie kwenye wingu la aibu
Tusubiri kaka maana mpira ni dakika 90.

Acha tusubiri tuone tulichoandaliwa na professor Nasridine Nabi na Ibenge Flolentine ndani ya dk 90.
 
Washabiki wengi wa Simba wanatafuta furaha maana timu Yao haiwapi furaha na ndo maana unaona wanahangaika na kukosoa kila kitu.
Unapata nini kuongea uongo?
 
Hadi sasahivi huna picha za uwanjani halafu unakuwa na haraka ya kuanzisha uzi
 
Hadi sasahivi huna picha za uwanjani halafu unakuwa na haraka ya kuanzisha uzi
Hili swala la picha kutowekwa linatupa tafsiri tofauti sana kwa sisi ambao tuliaminishwa ticket zimejaa na kwamba itawekwa rekodi ya uwanja kujaa saa 4
 
Kila la heri Alhilal piga 5-0 hao young African sports Club
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…