FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Mashabiki hawaonekani tena kuwa na muitikio kwasababu kila wakiangalia saa zao na ratiba zinavyoenda uwanjani hapo hewaelewi kitu, wamehamaki.

Hapo kwenye stage kila mtu anataka kuongea (Harmo na Rayvanny), hakuna mipangilio badala ya mziki wameamua kufanya mahubiri na uchawa.
 
Mbona Hawa wasanii wote hovyo sana. Wote washa tochi hata kama Kuna mwanga, mikono juu, peperusha bendera , kushoto kulia. Wanapiga makelele tuu hawaimbi chochote
Aly B alifanya kitu ya maan sana
 
Mashabiki hawaonekani tena kuwa na muitikio kwasababu kila wakiangalia saa zao na ratiba zinavyoenda uwanjani hapo hewaelewi kitu, wamehamaki.

Hapo kwenye stage kila mtu anataka kuongea (Harmo na Rayvanny), hakuna mipangilio badala ya mziki wameamua kufanya mahubiri na uchawa.
Afu uongozi umeshindwa ku balance ratiba kuendana na hali za wachezaji wake.

Muda huu wale wazee watakuwa wanasinzia then uwakurupue kwenda kucheza haitakuwa fair.
 
Hawa wanaoitwa wasanii ni ujinga mtupu...Harmonize, Rayvnny na Mario naona wanapiga kelele tu huku wamelipwa pesa ndefu
 
CCM ndiyo wamewalipa wasanii.

Yanga wametoa platform tu .

Za ndaani.
 
Back
Top Bottom