Usafiri kwa wanya Yanga haiwezi kuwa ishu.Watu wa daslam usafiri ulivyo wa shida leo mtakoma
Afisa Habari yupo?.Mechi inaanza saa sita usiku
tuko live magoma FC
Sijui Baleke na Mzize watawezaje kucheza peke yao dhidi ya timu iliyotimiaMechi inaanza saa sita usiku
tuko live magoma FC
Subiri waishe uwaorodheshe wote kwa pamojaNickson kibabage Anatambulishwa uwanjani
Ni kazi sana sio rahisiSubiri waishe uwaorodheshe wote kwa pamoja
Manara hajui kitu na hana kumbukumbu.Kumbe Bacca mstaafu?
Manara anaropoka.
Manara hajui kitu na hana kumbukumbu.Kumbe Bacca mstaafu?
Manara anaropoka.