FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Manara anaganya mambo fyongo hadi Azam wanalazimika kuingilia kati kwa kuchomekea matangazo
 
Manara mdomo wake haujuagi kuwa na breki ana ujinga na upumbavu mno halafu ni jitu zima hata akili hana.
 
Hata yeye anasema hategemei kutunga mwingine hivi karibuni. Ule wimbo una integrity, haujataja majina ya kichawa zaidi ya kuizungumzia Simba
Ndivyo inavyotakiwa. Ningependa Simba waupitishe kaka official anthem.
 
Da sasa kama mama anatazama sinivitu vya aibu mapenzi na mpira wapi na wapibyani ujinga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…