Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hamisa kaenda jukwaani kama nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi ukoooTANESCO
TANESCO
TANESCO
Poleni sana 😂😂😂TANESCO
TANESCO
TANESCO
HayajapokelewaNimeongeza maombi yakuwaombea mabaya!!
Mmeanza kusema🤣🤣🤣Aliyeandaa ratiba ya Yanga afutwe kazi
KabisaaUjinga ujinga
Hapo kaharibuMmeanza kusema🤣🤣🤣
IringaWapi ukooo
Aziz kaamua kuangalia nyash kama ipo kweliHuyu ki azizi wanatumia vibaya wanambemenda na hili lizee
Ndivyo inavyotakiwa. Ningependa Simba waupitishe kaka official anthem.Hata yeye anasema hategemei kutunga mwingine hivi karibuni. Ule wimbo una integrity, haujataja majina ya kichawa zaidi ya kuizungumzia Simba
Tuliwawoni mapema hamkusikia😀Yanga wanajuta kwenda Uwanjani🙌
Mnaleta mapenzi kwenye vitu serious?Labda tufungwe na mahakama