Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Ila msilalane na waume za watuTutalala hapahapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila msilalane na waume za watuTutalala hapahapa
😁😂😂😂Bado dakika moja
tatizo wanaigaiga sana kwani lazima waifuatishe Simba?wangecheza sana 11 au 12 kungekua nashida gani?Waliokunywa pombe kali wameshazima uwanjani kitambo. Hili tamasha la usiku wa manane halina mvuto
Na wahindi wasivyoipenda Yanga hata uje na excuse gani hawakuelewiKuna watu wanakaa kibaha hapo na kesho wanatakiwa kuwai makazini 😂
Duuu!! Ngoja nikalale maana Hawa Jamaa sijui wanadhani kila mtu anawaza tamasha, imagine Kuna watu wametoka Dom,mbeya,Moro walijua mechi kufikia saa tatu itakuwa imeisha wapande chombo zao warudi kwao kesho wawahi kazini, lakini mpaka sasa hakuna lolote.Bado haijaanza.wameenda kuvaa nguo
Mida yao ya kupelekewa moto imefikaNaona hata wachangiaji humu wamepungua hasa mademu au wanapelekewa moto nini🤣🤣🤣🤣
Mbona kama mazombie ?Kila la kheri chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara 💚💚💚💚💚💚 hii ndio disko ya wakubwa watoto wadogo wamemaliza ya kwao furaha Yao itadumu siku tano💚💚💚💚 Cc ephen_ View attachment 3060846
Utajulia wapi mambo hayaMbona kama mazombie ?