uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Nakuunga mkonoKutokana na rangi ya jezi kufanana na utamaduni wangu, nipo Red Arrows
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuunga mkonoKutokana na rangi ya jezi kufanana na utamaduni wangu, nipo Red Arrows
Kweli misukule siijuiUtajulia wapi mambo haya
Fact..Duuu!! Ngoja nikalale maana Hawa Jamaa sijui wanadhani kila mtu anawaza tamasha, imagine Kuna watu wametoka Dom,mbeya,Moro walijua mechi kufikia saa tatu itakuwa imeisha wapande chombo zao warudi kwao kesho wawahi kazini, lakini mpaka sasa hakuna lolote.
Mtu kama huyo usipokuja next time utamlaumu?
Inabidi tuondokane na haya mambo let's be professional guys
Serious kaka?Saa tatu na robo usiku kaka
naona mida hii mana kunavidume wenzetu mambo yampira hawana wanaliwazwa na kquma tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁🤣🤣😁Mida yao ya kupelekewa moto imefika
Haa haaa...Watakoma kuwafahamu waswahiliWatu wa Rwanda wamekaa kusubiri hadi wamelala
WameshawawashaJamaa wanakuwa wengi mbele yani wamekosa adabu kabisa