FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Duuu!! Ngoja nikalale maana Hawa Jamaa sijui wanadhani kila mtu anawaza tamasha, imagine Kuna watu wametoka Dom,mbeya,Moro walijua mechi kufikia saa tatu itakuwa imeisha wapande chombo zao warudi kwao kesho wawahi kazini, lakini mpaka sasa hakuna lolote.
Mtu kama huyo usipokuja next time utamlaumu?
Inabidi tuondokane na haya mambo let's be professional guys
Fact..
 
Mbona bado mwiko kwa huyu upo nyuma 😂
FB_IMG_1722620645300_1.jpg
 
Back
Top Bottom