Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Tulia ephen hii gem tunashinda 4-1 watch the spaceNilitaka niandike mapema kua leo tutaboronga kila kitu
Naona dalili imeanza
Bora niwe zangu Singida na Guede wangu
Sawamtashinda njaa.
Waliwafunga wale wazuru waliokuwa wanashika nafasi ya 10 kwenye ligi yao, basi wametamba.Hii inatosha kunifanya nikalale, ninasinzia. Pameshaonekana panapovuja
Sawa tushinde lakini mimi ni SingidaTulia ephen hii gem tunashinda 4-1 watch the space
Bomboclat ni Motherfu*** ujue 🤣🤣Au Harmonize alimaanisha hiki kinachoendelea alivyokuwa anasema "Bomboclatch" [emoji23]
Anazeeka vibayaAucho ashaanza kuwa tozi
Halafu twote twakijingaTuvituvitu.