DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mpaka Muombe Msamaha kwa Mzee Magoma Hii Ni kurujuani inasomaa
Labda alizimia tena, kurujuanAli kanwe leo alikua wap mbona hajaonekana kabisa au alikua na kamzozo na bugati
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mpira ungeisha tu kuna haja gani ya kucheza dakika zote wakati kilichokuwa kinatafutwa kimepatikana?
Lengo ilikuwa ni kumpata mshindi, na mshindi tayari, sasa huku kote tumefikaje?
Ukishalewa huto angalia mpira tena😆😆Dakika ya ngapi kwani.. natak niongeze KILIMANJARO nyingine hapa
Siangaliii nipo ktk canopy nje hapa... nashusha vyupa.Ukishalewa huto angalia mpira tena😆😆