DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Nasikia Manara katumwa Benki Ili kipiindi cha Pili Aende Benchi la Ufundi la Arrow Agawe Pesa Ili washinde...
Nimempigia Simu Kagame sasa hivi atutumie ULINZI kwenye Timu yetu na Kamati ya Ufundi maana tunakoelekea Tutalipwa pesa hapa maaba kuna meseji ya Manara nimepokea eti anataka kutupa Milion 10 kila mchezaji
🤣🤣🤣🤣
Nimempigia Simu Kagame sasa hivi atutumie ULINZI kwenye Timu yetu na Kamati ya Ufundi maana tunakoelekea Tutalipwa pesa hapa maaba kuna meseji ya Manara nimepokea eti anataka kutupa Milion 10 kila mchezaji
🤣🤣🤣🤣