Ohhh tuna kikosi fyoko fyoko kiko wapi sasa? π π π πMuda wote huu hata moya hamnaa ??? Sikukuu imeingia ruba
Angepelekwa MOI wodi ya bodaboda wenzakeAngefunga sawa. Ila angekuwa mahututi.
inaelekea izo fyoko fyoko wanakuweka saana unazielewaOhhh tuna kikosi fyoko fyoko kiko wapi sasa? π π π π
Anaomba kazi kijanja huyo msimbaziKipa wetu mzuri sana
Nguvu moyaa. Asante zimefikaaaaRed Arrow na Nyie wazembe Goli moja dakika zote hizo..
Hebu fanyeni Haraka Kesho watu tunawahi kazini bhnaa..
Muhuuuduuuumu Hebu niongeze hapa tatu halafu na ile meza waongeze nne
Hauogopi?Kwahyo hawa ndio wanacheza na simba?
Sema hawa wanetu wanaruhusu sana mashambulizi!!!Anaomba kazi kijanja huyo msimbazi
Kaa kwa kutuliaaaa kwenye hilo bomba. πππinaelekea izo fyoko fyoko wanakuweka saana unazielewa
Mimi ni Mwananchi, Yanga Daima mbele nyuma mwiko..!πππ₯π€ΈAucho wa Jamiiforum kwani wewe timu gani? Unanchanganya
Anajua boliHuyu Mkenya anajitahidi