daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Waongee nao vizuri wasiharibu tamasha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yn wamechemka sn ktk swala la muda.Imagine umetoka kwako jumapili unaenda tamashani unarudi jumatatu masaa kadhaa kabla ya kwenda kibaruani🚮🚮🚮
Nimeona wanasinziaImagine umetoka kwako jumapili unaenda tamashani unarudi jumatatu masaa kadhaa kabla ya kwenda kibaruani🚮🚮🚮
Umesahau halfu unakaa bunju au kibambaImagine umetoka kwako jumapili unaenda tamashani unarudi jumatatu masaa kadhaa kabla ya kwenda kibaruani🚮🚮🚮
Kwenye muda wamezengua, uswahili mwingi sana.Imagine umetoka kwako jumapili unaenda tamashani unarudi jumatatu masaa kadhaa kabla ya kwenda kibaruani🚮🚮🚮
Af ukute boss's ni simbaImagine umetoka kwako jumapili unaenda tamashani unarudi jumatatu masaa kadhaa kabla ya kwenda kibaruani🚮🚮🚮
Hata bonanza mnataka kuhonga?sasa hapa refa itabidi afanye yake maana sherehe inataka kuharibika
Tatizo la Baleke halioo kwenye umri.Baleke hana bahati na Mpira wa Tz.
Tatizo halikuwa Simba.
He is Old and Gone.
Na Utopolo sio wavumilivu kabisa
Unataka kusema kua tajiri anatumia vitu kutoka Sinaloa na bogota ?hivi gsm nae anakula bwimbwi kama boss wetu wa unyamani?
Atafufukia kwenu.Baleke hana bahati na Mpira wa Tz.
Tatizo halikuwa Simba.
He is Old and Gone.
Na Utopolo sio wavumilivu kabisa
Tatizo la Baleke halioo kwenye umri.Baleke hana bahati na Mpira wa Tz.
Tatizo halikuwa Simba.
He is Old and Gone.
Na Utopolo sio wavumilivu kabisa
Jamaa aliyekuja kumkumbuka Yusuf Manji kasema msiwe na shaka, shughuli ni kipindi cha pili na ushindi ni kwa ajili ya Yusuf Manji.Time will tell haishi mpaka iishee
tunasubiri sec half.