Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nimemuona mwenyekiti wa TAWI la Yanga kigamboninoπππππππππππππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawapa na chapati ili iwe rahisi kukunjia tiketi.Hahaha baada ya jezi kushindwa kununuliwa sio njoo unywe supu na donaty
Kabla ya utaratibu wa supu hamjawahi kujaza uwanja.Kwan mara nyingine tunapojazaga huwa zinakunjiwa kwenye chapati kama leo?
Wivu unakusumbua weweWanawapa na chapati ili iwe rahisi kukunjia tiketi.
Uandishi wako unaonesha ushahidi wa timu uliopo.Simba day iliboa sana. Kitu pekee kilichovjtia ni labda wameujaza uwanja... tamasha halikua colourful, lilikua linaboa... tamasha zuri la simba day ni la mwaka 2020 wakati babra yupo. Tamasha lilikua kama ufunguzi wa Afl au olimpik. Kulikua na mambo mazuri mengi, sarakasj, halaiki ya watoto, muziki etc.. yaani hata watoto waljoenda waliinjoi sana... mie simba ila naamini tamasha la leo litakua kubwa zaidi na lenye mambo mengi. Ja a sumba ilikua ni bora liende tu, wakaleta wanamuziki na kjpiga kelele baaasi...
Waivu wa supu na chapati??Wivu unakusumbua wewe
Njoo yanga ushibe toka uko kiriba tumbo kitazid ikonWaivu wa supu na chapati??
Acha masihara mkuu.
Hata kuandika haujui ndugu wa 3 kwenye ligi kuu hauoni aibu ππWaivu wa supu na chapati??
Acha masihara mkuu.
Hata kuandika haujui ndugu wa 3 kwenye ligi kuu hauoni aibu ππWaivu wa supu na chapati??
Acha masihara mkuu.
Hawa wasanii ni wajinga Sana. Niliwaambia walete ngoma za kienyeji kuliko Hawa wabana pua hawana kipya zaidi ya mikono juu ,kulia kushotoTochi mchanaπ€
Labda ajaonja mvinyHuyu Shifta hana sauti ya kua MC