FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

Nimemuona mwenyekiti wa TAWI la Yanga kigamboninoπŸ˜ŽπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’š
 
Simba day iliboa sana. Kitu pekee kilichovjtia ni labda wameujaza uwanja... tamasha halikua colourful, lilikua linaboa... tamasha zuri la simba day ni la mwaka 2020 wakati babra yupo. Tamasha lilikua kama ufunguzi wa Afl au olimpik. Kulikua na mambo mazuri mengi, sarakasj, halaiki ya watoto, muziki etc.. yaani hata watoto waljoenda waliinjoi sana... mie simba ila naamini tamasha la leo litakua kubwa zaidi na lenye mambo mengi. Ja a sumba ilikua ni bora liende tu, wakaleta wanamuziki na kjpiga kelele baaasi...
Uandishi wako unaonesha ushahidi wa timu uliopo.
 
Kivumbi na jasho πŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šπŸ’šnaziona goli 8 tarehe 8
 
Back
Top Bottom