Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Nenda kwenye dimbwi lolote lenye vyura sikikiza mpangilio wa sauti utaelewa.Mambo ni shaghala bagala vululu vululu
Yani utopolo hawaeleweki na hii ratiba yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye dimbwi lolote lenye vyura sikikiza mpangilio wa sauti utaelewa.Mambo ni shaghala bagala vululu vululu
Yani utopolo hawaeleweki na hii ratiba yao
😁😁😂🤣🤣🤣 Safi sana!!
Naona hakuna game hapa
Muwasho huu
Yanga itanifanya niachikeUjachoka hapo uwanjani?🤔
Sasa huku umefata niniModerators nielekezeni namna ya ku mute baadhi ya content ambazo sitaki kuziona kwenye account yangu, Mfano content za mamipira ya bongo simba na yanga sitaki kuyaona kwenye timeline yangu nielekeze namna ya ku mute hizi takataka.
Alisikika shabiki wa kolo mmoja akinena mwenye kisirani cha ajabu na mnuniBora niachane na huu utopolo niangalie riadha huku Olympic
Timu yenu ile ya kupigwa 5?Mpira saa ngapi sasa? Au timu yetu imeogopa asije akawepo Kelvin Kapumbu mwingine akaharibu tukio la leo?
🙌Hongera madamYanga itanifanya niachike
Nachokaje kwa mfano mwari wangu?. Nimekuja jana toka Dodoma, na niko Dar mpaka Alhamisi ya derby we acha tu.
YANGA BINGWABora niachane na huu utopolo niangalie riadha huku Olympic
Fagio litakuwa limewapitiaSkudu na Mwamnyeto wametambulishwa kweli ?
Eeeeh, hiyo hiyo iliyofungwa 5 - 0 na akina Felix Sunzu.Timu yenu ile ya kupigwa 5?
Guu hilo linazidi la Mobote 😂😂😂