uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Mabeki wanamchoma.Huyu kipa wa red arrow yupo vzr sn
Anapata mashambulizi makali.
Kuvumilia mpaka mwisho ni changamoto.
Wanahitaji kufanya mabadliko kwenye kiungo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabeki wanamchoma.Huyu kipa wa red arrow yupo vzr sn
Hata Mimi nimeshangaaHiyo inaitwa asinyimwe vyote
Mhudumu, mwambie tunashukuru, mpatie na yeye nne. Njoo na bili kabisa.Red Arrow na Nyie wazembe Goli moja dakika zote hizo..
Hebu fanyeni Haraka Kesho watu tunawahi kazini bhnaa..
Muhuuuduuuumu Hebu niongeze hapa tatu halafu na ile meza waongeze nne
Mbona hueleweki.....jitahidi kuandika sentensi zenye kuleta maana....Yaani huyu Pacome yaani hili bonanza anacheza hivi, halafu bado kuna Dube......... nyie.Jana kuna watu hata ukiwauliza walikiwa wanacheza mfumo gani hawajui,muunganiko hamna....... tupo hapa.Wanatupigia kelele humu ,nyie jidanganyeni na hili bonanza maana sijui safari nani atapewa mzigo wa lawama wa kuitwa duka.
Unaumwa weweYanga ya kawaida sana, tena sana
Kiujumla tunawasoma tuKiujumla Yanga wamechèza vizuri
Bonanza...... ila jidanganyeni, sijui safari hii nani mtamwita duka,timu haifamiki inatumia mfumo gani hamna muunganiko. Jichanganyeni tuu tunawasubiria.....Sauz lilikuwa Nini
Wazee hao wanasinzia muda wa kulala
😆😆Yaani uendeshe bodaboda miaka miwili afu unataka ufunge goli la tik-tak
Tupo vyede! Tar 8 tutawanyoosha wanyonge wetuKiujumla Yanga wamechèza vizuri
Nenda Kalale mdau.serikali iingilie kati kuhusu muda kesho j'tatu siku ya kazi tukajenge uchumi wa nchi.
Wewe ndio uchague ila Yanga inaendeleza ilipo ishia msimu uliopita, sijui safari nani ataitwa duka.Uwanjani wanaingia 11, mchague kabisa wa kuanza tarehe 8
😂😂😂🙌🙌🙌Yaani uendeshe bodaboda miaka miwili afu unataka ufunge goli la tik-tak