Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
ππππUshubwada π
Vaa suti ya njano tukuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππUshubwada π
Vaa suti ya njano tukuone
AmeifutaRefa nae angemwacha tuu.
TunakeshaRefa maliza mpira, ndugu zangu wananchi waende kulala
Kuwa mpole wewe, mechi ya majaribio hii.Kikosi kipana huja ja madhara yake. Kocha inatakiwa aweke full mkoko uliokuwa unashinda na kutwaa ubingwa. Hii rotation itamsumbua sana siku za usoni. Kama unataka ushindi never change a winning team
Watapata hata dro naonaUshubwada π
Vaa suti ya njano tukuone
Hajui kwamba ameshaharibu shuguli nzimaGamond sjajua kama anajua umuhimu kushinda mechi hii naona kama anafanya majaribio ya kikosi aisee
KwaniniWanatafutiwa ushindi
Angalau hiyo itawasaidia Yanga Sc wapate goli la kusawazisha.Katika hili huwezi kumlaumu referee. Huyu mchezaji amejitakia mwenyewe. Hii ndio mentality ya wachezaji average mostly kwenye timu ndogo
Simuelewi kbs badala ya kuweka kikosi cha ushindi kwanza ndipo aweke wengne naona kama hata hajui viwanja viwili vimejaa sa tukifungwa itakuaje aiseeHajui kwamba ameshaharibu shuguli nzima
Mkuu unajua mpira?nilisemaje hahahaha bongo bwana yaani shida tupu.
alafu huyu refa fala sana, hii ni friendly game huna sababu ya kutoa kadi nyekundu ni suala la kumuita kocha unamwambia bwana mtoe huyu mcheza kabla mie sijampa kadi nyekundu.
Kuwa mpole wewe, mechi ya majaribio hii.Kikosi kipana huja ja madhara yake. Kocha inatakiwa aweke full mkoko uliokuwa unashinda na kutwaa ubingwa. Hii rotation itamsumbua sana siku za usoni. Kama unataka ushindi never change a winning team
Mkuu hii kadi nyekundu hata wewe inakuumiza? Kwa hiyo mnataka double standardnilisemaje hahahaha bongo bwana yaani shida tupu.
alafu huyu refa fala sana, hii ni friendly game huna sababu ya kutoa kadi nyekundu ni suala la kumuita kocha unamwambia bwana mtoe huyu mcheza kabla mie sijampa kadi nyekundu.