joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mwambie kuna after party Tips labda ndio maana wameamua kuivuta.Tunakesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie kuna after party Tips labda ndio maana wameamua kuivuta.Tunakesha
Hi sio gemu ya matokeo mkuuSimuelewi kbs badala ya kuweka kikosi cha ushindi kwanza ndipo aweke wengne naona kama hata hajui viwanja viwili vimejaa sa tukifungwa itakuaje aisee
Angemuacha na kumuonya.Hee....Hili si ni bonanza...Sasa Kadi za nini sasa..?
Utopolo hii ni aibu
Hahaa.. Yanga haitaji red cards kupata ushindiAngalau hiyo itawasaidia Yanga Sc wapate goli la kusawazisha.
Mchezaj wa team gan kala umeme?Mkuu hii kadi nyekundu hata wewe inakuumiza? Kwa hiyo mnataka double standard
Red ArrowsMchezaj wa team gan kala umeme?
yaan mmoja yupo kwenye bus mwingine uwanjani alaf unasema hamna tofauti?Aliyeenda uwanjani saa mbili asubuhi mpaka sasa yupo uwanjani hana tofauti na aliyesafiri Dar kwenda Mwanza kwa basi, wote wako hoi kwa kukaa
Angalia vizuri em 😂Watapata hata dro naona
Mmeshapunguziwa workloadYanga yangu mbona inataka kunipa ugonjwa wa moyo. Nitaficha wapi uso wangu baada ya gemu!
wa timu yetu Red Arrows.Mchezaj wa team gan kala umeme?
Hapa naombea mpira uishe wa be HUMILIATED kwa kufungwa na red arrow s 💘 Tena pungufu..Kimewalamba mapema 😂
Mtimueni kabla mambo hayaja haribika zaidi.manara nuksi
😂😂😂. kila yanga akitanganza wanafungwa
WhyNamuonea huruma Mousa Ndau🥲