Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dk ya 19 mkuu.Msinipe tena updates sitaki, kwanza mpira ni DHAMBI
Na 2012?Dah!
Mimi wa kizazi hiki nimeshuhudia kwa macho yangu unyama wa kikatili 5G
Hizo fix za mchongo sitak kuamin kwanza Tanzania tulikuwa bize na Uganda kipindi hiko nguvu ya kucheza mpira tuliitolea wap?
Tuma salamu kwa watu watatuFixed games,soka la Tanzania halitaendelea kabisa
Mungu tusaidie tushinde hii Penalty🤸💚💛
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nimetuliaaa tuliiiiii, wala sitetemekiiii.Tulia hivyo hivyo
Hayakuhusu
Mpaka aseme hiyo CPA yake aliisomea wapi dadeki! 😁Tutakesha kwenye Uzi wa kihasibu Leo.
Ilitakiwa itoke saa ngapi?Huyu refa mwehu anataka kujaribu mechi unatoaje penalty mapema hivi?
Sitaki update yoyoteDk ya 19 mkuu.
Hata tumbua?Wanasimba Leo tususie kil kitu
Kweli.Inawezekana. Changamoto ya kutokuwa na Mshanbuliaji halisi inaonekana kwa Simba. Yule aliyewazaga kuwatoa akina Phiri sijui aliwaza nini.