joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Lile tobo si kona ile jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa labda leo wawaonee huruma, ila mkono wa nyani mwingine upo hapa.Kazi imeanza
Saa 12Ilitakiwa itoke saa ngapi?
Tuna anzia tulipo ishia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nimetuliaaa tuliiiiii, wala sitetemekiiii.
Haya Dj tuletee muhasibu.
Hiyo Tunarudisha kama mlivyotifunga 1-5Zitafika 10 leo.🤣🤣🤣
Hahahaa kazoea huyu kuoga nje acha aadhibiweDuh simba atayakoga leo
Ova
hahahaha kwa yanga kila mechi ni fixed maana yanayo tegemewa hayatokeiFixed games,soka la Tanzania halitaendelea kabisa
Subiri itatoka tenaSaa 12
Na uzuri kwenye hii mechi ya TP na Ahly mtangazaji naye anasaidia kidogo kutoa updates, niko nafuatilia humu jf nasikia naye anasema Aziz Ki kashatupia huko kwa mkwaju wa penalty, wacha niendelee tu kufuatilia kotekoteHauko peke yako ndugu yangu,
AwapiSimba akijichanganyq asawazishe anapigwa tano tena
Kila timu ikicheza na Yanga inaonekana dhaifuFixed games,soka la Tanzania halitaendelea kabisa
😣Nipo na Yanga mpaka Mwishooo🤸💚💛Heheh...
Hii mechi ungesubiri tu matokeo ya mwisho, utapasuka...