Ntakubonda π€£π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badooo huja force furahaa udugu, tulizanaaa.
Inaonekana siyo mkuu.Goli La pili ni Offside... Marefarii ni shida.
Kazi ya auchoGOLI LA PILI NI GOLI LA KIAKILI SANAAA
ASEEE
Sawa kaka,Ahahahahah kaka angalia usitoneshe mguu, kasirika kwa taratibu plz ππ
Jamaa waliwasiliana kama kila mtu yupo akilin mwa mwenzakeKazi ya aucho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati huo ilikua bado.Hebu Acha Kusema Uongo Unaangalia Wakati Mechi Tayari Imeisha[emoji23]
Nani na nanikuna watoto pendwa wa Benchika siwaoni humu kabisa leo, ni hawana bundle ama wapo pahala mtandao hakuna..??πππ
Piga kipyengaGoli La pili ni Offside... Marefarii ni shida.
Hizo chacheKuna jamaa hapa kaongeza chupa 5 za beer na konyagi