Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Lile la mamelody mbona hadi leo hamjalipigia kipengaPiga kipyenga
Goli zitafika 5Muda bado lakini
π€£π€£π€£π€£ Vitu vinavyosababisha tetenasi hapana.!! Mkuu hiyo zawadi baki nayo nashukuru πNikubebe kwenye baiskeli
Tutawaridishia mzee wenuKuliko Saidoo!!
TUNARUD COME BACKGoli zitafika 5
Mo DewjLeo watamfukuza nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujua una maumivuu, wee tulizanaa.Ntakubonda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Cha ofisiSasa kile kikao cha Mo kilikuwa cha nini jamani. ππ
[emoji23][emoji23]tutaonaTu
TUNARUD COME BACK
Nilikuwa nina mashaka nalo lakini Azam wamerudia mara mbili mbili wakati mpira unapigwa Guede hakuna kwenye eneo la kuotea. Ni goli halali kabisaWenzetu wanapewa magoli ya offside
Sasa mbona sisi tulikifurahia as if leo tungerudisha zile tano. πππCha ofisi
Mtani tuliaSasa kile kikao cha Mo na wale viongozi wetu wengine kilikuwa cha nini jamani. ππ
Acha waugulie sie waleeeeeeeπππΊπΊπΊπ!Hawana namna rafiki. Ni maumiifffu tu. π€£