Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mungu kawalaaani na timu Yao mbovuWamepulizia mpaka dawa kwenye chumba cha kubadilishia nguo wapinzania wao, lakini wapi!
Basi tufanye timu yako imeshinda moja bila.Koublan Fred....Goli Safiiii... Sio ile Migoli ya Uto ya mchongo..!
Dah!! Mwasibu OKW BOBAN SUNZU njoo uangalie msimamo wa ligi huku, halafu utupigie zile hesabu zako za kihasibu tuone kama zitazaa matunda.Mechi kumi za wapi? Bado mechi nane tu kwa Yanga na mechi 9 kwa Simba. Na msimamo huu hapaView attachment 2969343
Ni nani huyo nahitaji kumjua ananiharibia brand.Muda mrefu kwan hujijui??? Hiyo leo kuna mtu nimemwambia namtumia novena kupitia ww kisha umtumie.!! Weee asiniambie kwann usinitumie mwenyewe badala yake umtumie chawa wako πππππ
Nikasema oohh kumbe half ni chawa wangu?!!
π na bado utatazama hadi criketiNiko vyediiii mnooo!!
Natazama Al ahly na Tp Mazembe,
Nikisubiri Masandawana na Experance.
Is not abou kugharamikia timu, uendeshaji.Muhindi hawezi kushindana na Mwarabu kwenye kugharamia timu
πππππ kwani sio chawa wangu kweli??Ni nani huyo nahitaji kumjua ananiharibia brand.
πNguvu ya kunya?
Baada barua ya posa mliyoandika kugonga mwamba nayoTulisha achana nalo
Nimefika mtaniNishaivisha, wahi kabla hakijapoa, hapa nagonga[emoji485]kusindikiza ushindi
Ndio anasikia inaendelea huko mtaaniKuna jamaa alisema derby ikiisha Mashabiki wa Yanga watoke uwanjani. Kuna derby ya mashabiki wa simba na uongozi itafata
Barua haijajibiwa bado.Baada barua ya posa mliyoandika kugonga mwamba nayo
Haswaaaah!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Surely
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha naona pesa za mo hazijasaidia kitu mkuu au ilikuwa danganya toto tu
Mbili fc mtaniNiko vyediiii mnooo!!
Natazama Al ahly na Tp Mazembe,
Nikisubiri Masandawana na Experance.
ππππππππJipange mwakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππZanzibar Tulienda Kupunguza Idadi Za Magoli Kutoka 20 Hadi Saba.