FT: Yanga 2 - 1 Simba | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Benjamini Mkapa | 20/04/2024

Sasa Simba magoli yenu mengi si mnashinda kwa penati

Kabla ya mechi ya yanga mlidraw kwa kwa penati

Penati ni goli kama magoli mengine japo halina ladha
Ya masandawana yana ladhaa tamuuu mnooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MGaoli ya YANGA YAYAFUNGWA anMA NAa gwedee
AZIZ K mpooo
 
Ulivowasifia mtani mechi zote mbili eti ulisema wana temba zwane [emoji23][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo themba zwane leo ana cheza na experance semi final, wee aziz kii, nzengeli na zoazoa wako wapiiii?
Hujistukiiiii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…