Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii half cast koko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Heelllou habari, hujambo, haaaaaiiii,nakusamilia [emoji112]
Mnajifariji naona....
Mtani dawa ni nazo maumivu yakizidi utanambiia. 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masandawanaa walikata ngebee zotee.
Hayo mengine ni yenuuu, hayatuhusuu.
Ndoa ya mkeka hii bila kupenda😀😀 sisi ndiyo Yangaa😟😟nioe tu🤣
View attachment 2969277
Kwa kweli hapa moyo umejaa hasira Sanaa..Hii imeisha boss. Ngoja tuone usajili utaendaje msimu ujao.
Inasikitisha sana, huyu kijana anapata nafasi kwenye timu kama hii, lakini yupo yupo tu. Sidhani kama season ijayo Yanga wanaweza kumvumlia. Anaweza pita njia zile za vijana wa kitanzania wanaosajiriwa timu hizi. Japo yeye amepewa nafasi ya kutosha tofauti na wenzake.Yanga toeni huyo kiboko Mzize, huyo kifaru hajui hata kutao pasi, toaaaa huyo kibokooo
Nikuulize wewe, mimi naongoza 2 lazima niwe poa.Hiii half cast koko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko poaaa?? [emoji113]
Yeah ni kweli yaani Hiii Timu ya Kijinga sanaMsimu huu hakuna mbele kokote pa kwenda. Mechi zilizobaki hata wakifunga goli 500 hazina maana.
Inasikitisha sanaHuyu gamondi huwa anamfanya Nini mzize,mtu hajui mpira Ila ana mahaba nae