Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€£π€£π€£ wa naniHuu mwandiko naujua!
Zawadi atanipokelea chawa wangu Half american ukimpa inafika bila tatizo π€£π€£π€£Kukubeba kwenye baiskel
Zawadi ipo pale pale toa/sema namna ya kuipata mkuu
Wapo wengi tu, wanasoma hapa wanaenda kuchekea chooni..!!ππNani na nani
Ukiwa na maana gani Mkuu?
Huoni auNgapi hukoooo niko interior
Nakusalimia tu mkuuNaaam,
Dooh nimeona uchambuzi TBC nikajua wanaonesha mechi nashangaa muda umefika hola, sijui kwanini DSTV hawaoneshi mechi za ligi ya bongo, imebidi niangalie zangu tu mechi ya Mazembe na Ahly
Hauko peke yako ndugu yangu,
kuna huduma inaitwa sports hd naitumia hapa, ni elf 2 kwa mwezi ila kwa leo wameweka bureLink ya live kuangalia mpira... tupo nje ya nchi wengine.. app ya Azam unasumbua
Tumieni link please
Hana msaidizi mkuu, anahitaji hata mtu mmoja tu wa kumsaidia kazi paleNi kama kiwango chake hakina msaidizi
Nisamehe mkuu nme kosa sana . 2-0 [emoji172][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji81][emoji81]Chat yako ina camera hadi uwaone?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu, afu mbona hamuongezii mabao menginee? Ongezeni bas, maumivu yapoe poe.Wewe dawa yako kukukatia tiketi ya kwenda kumsalimia shangazi maporini, ukirudi akili itakukaa vizuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222]
Mpaka sasa Kibu na ngoma ndo wachezaji waliocheza vizuri.Kibu inabidi atoke pale simba anapoteza muda tu
aliwahamasisha sana wajitahidi goli zisizidi nne (4)Sasa kile kikao cha Mo na wale viongozi wetu wengine kilikuwa cha nini jamani. ππ
SahihiMpaka sasa Kibu na ngoma ndo wachezaji waliocheza vizuri.
Tunawapa muda mrudishe nguvu kwanza!!π€£π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu, afu mbona hamuongezii mabao menginee? Ongezeni bas, maumivu yapoe poe.
Tena afunge Aziz Kii