FT: Yanga 2-1 Simba | Yanga yatwaa Ngao ya Jamii

Tatizo la simba ni lile lile.Hawajabadilika pamoja nakubadilisha kocha.
 
Sielewi kivipi kocha hakuiona combination safi ya Okra, Okwa, Chama na Sakho. Unaenda kumtoa Chama ambaye alikuwa kwenye form nzuri kabisa. Fukuza Matola haraka Sana. Hii haikuwa game ya kupoteza kabisa. Matola achunguzwe.
 
Hii mechi sijataka kabisa kuiangalia wala kuisikiliza, kocha kaanza na lineup ya kitoto sana
[emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji4][emoji4][emoji4][emoji3][emoji23][emoji28]
 
Sielewi kivipi kocha hakuiona combination safi ya Okra, Okwa, Chama na Sakho. Unaenda kumtoa Chama ambaye alikuwa kwenye form nzuri kabisa. Fukuza Matola haraka Sana. Hii haikuwa game ya kupoteza kabisa. Matola achunguzwe.
Matola ana kosa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…