Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji4][emoji4][emoji4][emoji3][emoji23][emoji28]Hii mechi sijataka kabisa kuiangalia wala kuisikiliza, kocha kaanza na lineup ya kitoto sana
Mpeni muda Mzungu! Atawasaidia siku za baadaye.Sema hii team yetu kule mbele wametuzingua sana yani anaondoka Kagere na Mugalu haf hamna replacement ya maana
Matola ana kosa gani?Sielewi kivipi kocha hakuiona combination safi ya Okra, Okwa, Chama na Sakho. Unaenda kumtoa Chama ambaye alikuwa kwenye form nzuri kabisa. Fukuza Matola haraka Sana. Hii haikuwa game ya kupoteza kabisa. Matola achunguzwe.
Daah. Pole yetu sote mpendwa.Huku Simba kule Manchester united!!!
What A Day!!!
Ningekuwa mlevi leo ningeenda kulewa kupunguza maumivu
Letaaaaaa mdhunguuuuuuu
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Bokooooooo aah kumbe anaingia[emoji16][emoji16][emoji16]
Thimbaa mmeanza kulialia tenaSema hii team yetu kule mbele wametuzingua sana yani anaondoka Kagere na Mugalu haf hamna replacement ya maana
89.1Dakika ya ngapi?
Dakika ya ngapi?
Tuko pamoja, siku mbaya mnoHuku Simba kule Manchester united!!!
What A Day!!!
Ningekuwa mlevi leo ningeenda kulewa kupunguza maumivu