kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Majeneza nao ππππuzembe mkubwa sana
#GuyuMoya#GuvuMoyaDakika ya 89 Sheikh! Yanga 2 simba 1.
Kocha kaboaaa, tumefungwa kizembe leo. Roho inaniuma mimi jmn simba yng kweliuzembe mkubwa sana
Ni kweli, upo sahihi kabisa ChiefAcha tu Mkuu, bila wachezaji kujitoa Mara mbili ni ngumu simba kushinda, na yanga wakifungwa na hicho kikosi wafukuze kocha
Oyooooohhhhjj...!Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii
Dakiki 4 zimeongezwaDakika ya ngapi?
Mtaficha wapi sura zenu?Naona uto mmerudi kwenye uzi kwa fujo
Kwakweliπ€£π€£Zamu zamu kuukimbia uzi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Haya maneno yametoka wapi tena!!!Ameuza mechi nyambafu
Waache uhuni. Thimbaaa ya thupa ligiDakiki 4 zimeongezwa
Nilisema hii na imetokeaAcha tu Mkuu, bila wachezaji kujitoa Mara mbili ni ngumu simba kushinda, na yanga wakifungwa na hicho kikosi wafukuze kocha
Akina masunduku bin majenezaMajeneza nao ππππ