Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Simba imeishaYes chama asingetolewa, jmn kwani kapombe anaumwa????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba imeishaYes chama asingetolewa, jmn kwani kapombe anaumwa????
Simba inaniuma lakini kinachoendelea kwa Manchester ndo napatwa na depression kabisaPoleni ila huku Simba kuwa mvumilivu kidogo mnaweza rudisha
wanajikutaga haoSimba wamegeuka fisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe Mpuuziiiiiii daimauzembe mkubwa sana
Tunachomoa
Asante sana mwanasimba mzalendo kwa kukubali kupachikwa mimba pachaSimba hatutaweza kunywa maji mjini.
Mayele kamaliza mchezo.
Kitakachofuata ni kumpa heshima yake Mayele kuliko kuendelea kumbeza.
Msimu uliopita wa ngao ya hisani ni Mayele huyo huyo aliyetumaliza, leo tena Mayele yule yule karejea kutupiga.
Kama ni mimba, basi ya leo ni mapacha, tena mapacha wanaofanana.
Hata mimi nashangaa kwanini alimtoa chama wakati first half alikuwa vizuri..ujinga sana.Sielewi kivipi kocha hakuiona combination safi ya Okra, Okwa, Chama na Sakho. Unaenda kumtoa Chama ambaye alikuwa kwenye form nzuri kabisa. Fukuza Matola haraka Sana. Hii haikuwa game ya kupoteza kabisa. Matola achunguzwe.
Pole mkuu [emoji16]Huku Simba kule Manchester united!!!
What A Day!!!
Ningekuwa mlevi leo ningeenda kulewa kupunguza maumivu
Thithi tunawaza thupa ligiSimba imeisha
Dada em achana na hizi habari utaja kufa uache watoto kisa mpira mama. Binafsi kuanzia leo sina timu nshaona ntaumwa siku si zangu.Simba inaniuma lakini kinachoendelea kwa Manchester ndo napatwa na depression kabisa